iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Quba katika mji wa Madina, ambao ni Msikiti wa kwanza katika Uislamu, unatazamiwa kufanyiwa ukarabati mkubwa na kuongeza ukubwa wake mara kumi zaidi.
Habari ID: 3475098    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/08